
Nov 29, 2025
Matokeo ya Mchujo wa Wagombea: Magoti Apitishwa Kugombea Urais, Joseph John Akosa Sifa
TVF imetoa matokeo ya uchunguzi wa sifa za wagombea wa uongozi ambapo baadhi wamepitishwa na wengine wamekatwa. Kamati imetoa utaratibu wa pingamizi na rufaa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi.
Read News