TVF imetoa matokeo ya uchunguzi wa sifa za wagombea wa uongozi ambapo baadhi wamepitishwa na wengine wamekatwa. Kamati imetoa utaratibu wa pingamizi na rufaa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi.
TVF imetangaza uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 21 Desemba 2025 jijini Dodoma. Fomu zinapatikana kuanzia tarehe 10 Novemba hadi 24 Novemba 2025 kupitia tovuti ya TVF. Wadau wote wa mpira wa wavu wanahimizwa kushiriki kwa kuchukua na kurejesha fomu kwa wakati.
Hati mpya kupatikana kwenye tovuti zikiwemo: Kanuni za Ligi na Usajili [2025], Kanuni za Maadili, Kanuni za Uchaguzi, Kanuni za Fedha na Utawala (Machi 2025) na Katiba ya hivi karibuni [Toleo la 2023]
Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania – TVF, linawataarifu wadau wote kuwa dirisha la usajili kwa Vituo na Shule za kulelea Watoto, Taasisi binafsi, Makocha na Waamuzi limefunguliwa kuanzia leo tarehe 2/2/2024 hadi tarehe 16/2/2024.
Orodha ya Wachezaji Waliochoguliwa Kuwakilisha Timu ya Taifa Katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024
TAVA yaendelea kuboresha sheria na kanuni zinazoongoza mpira wa wavu nchini - ikigusia msimu wa mashindano, mfumo, mahitaji na ada za usajili kwa mwaka 2023.
Chama cha Mpira wa Wavu Tanzania (TAVA) kimefungua dirisha la usajili kwa msimu wa mashindano wa 2023/24, kuanzia tarehe 13/11/2023 hadi 12/12/2023. Maboresho ya kanuni yamefanyika kulingana na mahitaji ya wakati, na usajili utahusisha vilabu, makocha, wachezaji, waamuzi, na taasisi nyingine.
The APR Men's Volleyball Team triumphed at the 2023 Nyerere Cup, adding to Rwanda's volleyball success. They secured victory against Rukinzo Volleyball Club in a thrilling final match. This double win, along with RRA's success, underscores Rwanda's growth and excellence in volleyball.
In the 2023 Nyerere Cup, RRA secured victory against APR in the final, showcasing Rwandan women's volleyball excellence in the tournament held in Moshi, Tanzania, from October 10-14.