Hati mpya kupatikana kwenye tovuti zikiwemo: Kanuni za Ligi na Usajili - 2025, Kanuni za Maadili, Kanuni za Uchaguzi, Kanuni za Fedha na Utawala (Machi 2025) na Katiba ya hivi karibuni [Toleo la 2023]
2min
Tumefanya hati muhimu zipatikane katika tovuti yetu, zikiwemo Kanuni za Maadili, Kanuni za Uchaguzi, Kanuni za Fedha na Utawala (Machi 2025), Mwongozo wa Uhusiano wa Kimataifa, Kanuni za Ligi na Usajili [2025] na Katiba ya hivi karibuni [Toleo la 2023].
Bofya hapa ili kuona na kupakua rasilimali hizi muhimu.
Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania – TVF, linawataarifu wadau wote kuwa dirisha la usajili kwa Vituo na Shule za kulelea Watoto, Taasisi binafsi, Makocha na Waamuzi limefunguliwa kuanzia leo tarehe 2/2/2024 hadi tarehe 16/2/2024.
Orodha ya Wachezaji Waliochoguliwa Kuwakilisha Timu ya Taifa Katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024
TAVA yaendelea kuboresha sheria na kanuni zinazoongoza mpira wa wavu nchini - ikigusia msimu wa mashindano, mfumo, mahitaji na ada za usajili kwa mwaka 2023.