Orodha ya Wachezaji Waliochoguliwa Kuwakilisha Timu ya Taifa Katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024
3 min
Chama cha Mpira wa Wavu Tanzania, TVF, kimetangaza orodha ya wachezaji waliochoguliwa kuwakilisha Timu ya Taifa, ALMASI KINGS, katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayotarajia kufanyika nchini Rwanda kuanzia tarehe 01 hadi 10 Februari 2024.
Orodha hiyo inajumuisha jumla ya wachezaji wa kiume 14 kutoka katika vilabu mbalimbali nchini na nje ya nchi. Wachezaji waliorodheshwa ni:
Hati mpya kupatikana kwenye tovuti zikiwemo: Kanuni za Ligi na Usajili [2025], Kanuni za Maadili, Kanuni za Uchaguzi, Kanuni za Fedha na Utawala (Machi 2025) na Katiba ya hivi karibuni [Toleo la 2023]
Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania – TVF, linawataarifu wadau wote kuwa dirisha la usajili kwa Vituo na Shule za kulelea Watoto, Taasisi binafsi, Makocha na Waamuzi limefunguliwa kuanzia leo tarehe 2/2/2024 hadi tarehe 16/2/2024.
TAVA yaendelea kuboresha sheria na kanuni zinazoongoza mpira wa wavu nchini - ikigusia msimu wa mashindano, mfumo, mahitaji na ada za usajili kwa mwaka 2023.