Wachezaji Waliochoguliwa Kuwakilisha Timu ya Taifa Katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024

Orodha ya Wachezaji Waliochoguliwa Kuwakilisha Timu ya Taifa Katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 2024

Chama cha Mpira wa Wavu Tanzania, TVF, kimetangaza orodha ya wachezaji waliochoguliwa kuwakilisha Timu ya Taifa, ALMASI KINGS, katika Mashindano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanayotarajia kufanyika nchini Rwanda kuanzia tarehe 01 hadi 10 Februari 2024.

Orodha hiyo inajumuisha jumla ya wachezaji wa kiume 14 kutoka katika vilabu mbalimbali nchini na nje ya nchi. Wachezaji waliorodheshwa ni:

  1. Ezekiel Rabson Machunde (JKT - Tanzania)
  2. Bathromeo Revocatus (High Voltage - Tanzania)
  3. Starlone Wilbard (KIUT - Tanzania)
  4. Deodatus Baitubake Mhandiki (Jeshi Stars - Tanzania)
  5. Ramadhani M. Ramadhani (Jeshi Stars - Tanzania)
  6. Faraja Gideon (Nyuki - Zanzibar)
  7. Charles Daudi (High Voltage - Tanzania)
  8. Ford Gunja (High Voltage - Tanzania)
  9. Omary Bure Hassan (Rukinzo - Burundi)
  10. Lameck Suligi David (Jeshi Stars - Tanzania)
  11. Raymond Bwachele (JKT - Tanzania)
  12. Rashidi Mustapha (JKT - Tanzania)
  13. Andrew Chiogero (Polisi - Tanzania)
  14. Khamisi Sadalla (Mafunzo - Zanzibar)

More News

Blog details image
News and Updates
Arrow Icon

TVF Calendar Activities 2026

Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania (TVF) limetangaza kalenda yake kamili ya shughuli za mwaka 2026, ikiwa na zaidi ya mashindano 25 ya kitaifa na kimataifa. Kalenda hiyo inajumuisha Ligi ya Taifa (TVNL), Kombe la Taifa, Bingwa wa Afrika kwa wanawake na wanaume, mashindano ya vijana, na shughuli nyingine zinazoendelea katika miji mbalimbali ikiwemo Dar es Salaam, Dodoma, Mwanza, na Zanzibar. Pakua kalenda ili usikose tukio lolote la mpira wa wavu mwaka huu.

Blog details image
Uchaguzi
Arrow Icon

Matokeo ya Mchujo wa Wagombea: Magoti Apitishwa Kugombea Urais, Joseph John Akosa Sifa

TVF imetoa matokeo ya uchunguzi wa sifa za wagombea wa uongozi ambapo baadhi wamepitishwa na wengine wamekatwa. Kamati imetoa utaratibu wa pingamizi na rufaa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi.

Blog details image
Uchaguzi
Arrow Icon

Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania (TVF) Kufanyika Desemba 21, 2025 Jijini Dodoma

TVF imetangaza uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 21 Desemba 2025 jijini Dodoma. Fomu zinapatikana kuanzia tarehe 10 Novemba hadi 24 Novemba 2025 kupitia tovuti ya TVF. Wadau wote wa mpira wa wavu wanahimizwa kushiriki kwa kuchukua na kurejesha fomu kwa wakati.