Recent news

blog tabs image
Uchaguzi
blog arrow

Matokeo ya Mchujo wa Wagombea: Magoti Apitishwa Kugombea Urais, Joseph John Akosa Sifa

TVF imetoa matokeo ya uchunguzi wa sifa za wagombea wa uongozi ambapo baadhi wamepitishwa na wengine wamekatwa. Kamati imetoa utaratibu wa pingamizi na rufaa kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi.

blog tabs image
Uchaguzi
blog arrow

Uchaguzi Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Wavu Tanzania (TVF) Kufanyika Desemba 21, 2025 Jijini Dodoma

TVF imetangaza uchaguzi mkuu utakaofanyika tarehe 21 Desemba 2025 jijini Dodoma. Fomu zinapatikana kuanzia tarehe 10 Novemba hadi 24 Novemba 2025 kupitia tovuti ya TVF. Wadau wote wa mpira wa wavu wanahimizwa kushiriki kwa kuchukua na kurejesha fomu kwa wakati.

blog tabs image
News and Updates
blog arrow

Hati Muhimu Mpya Kwajili ya Msimu 2025

Hati mpya kupatikana kwenye tovuti zikiwemo: Kanuni za Ligi na Usajili [2025], Kanuni za Maadili, Kanuni za Uchaguzi, Kanuni za Fedha na Utawala (Machi 2025) na Katiba ya hivi karibuni [Toleo la 2023]

Upcoming events

No items found.
Gray Arrow
Gray Arrow

Word From The PRESIDENT

“I'm excited to champion our passion for volleyball. Join us in elevating the game through excellence, sportsmanship, and teamwork."

Eng. Magoti Mtani

President, Tanzania Volleyball Federation.